Blog  |  About  |  Privacy  |  Contact  |  +Submit Lyrics

Lini (feat. Alikiba)

-
  • TextText file is a kind of computer file that is structured as a sequence of lines of electronic text.
  • WordUse for Microsoft Office Word or Open Office
  • PDFUse for Abobe Acrobat

Lini (feat. Alikiba) - Navy Kenzo Lyrics


Verse 1 (Aika) :

Nakuthamini kama dolla

Wala usije nichora

Ukaniletea ukora.....

Chochote unachotaka we hu decide

Kwenye mabaya we huni guide

You're my baby can't deny

Baby hmm



(Eeeh)

You got my spirit to rise I'm popping

(Eeeh)

She like a ride to the heavens I'm a puppet X2



Chorus:

Itakuwa ni Lini au saa ngapi (lini saa ngapi)

Atakuwa ni mzawa wa wapi(what is love)

When you wanna fall in love with somebody

When you wanna get a lot with somebody

Verse2(Alikiba)

Atokee kwa bibi

Amfunge vikali

Akipasi maujanja baby

Na me nitamkubali eh

Amfunze maujanja (ujanja ujanja)

Asiende kwa mganga(mganga mganga)

Nimejawa na ma lover lover

Hakuna expire

Nitalinda na kulea lea

Kama mtoto wa jana

Nimejawa na ma lover lover

Hakuna expire

Nitalinda na kulea lea lea lea Leeee..



Chorus:

Itakuwa ni Lini au saa ngapi (lini saa ngapi)

Atakuwa ni mzawa wa wapi(what is love)

When you wanna fall in love with somebody

When you wanna get a lot with somebody

Verse3(Nahreel):

Kuna siri kubwa juu yako na mimi

Kukupata mpaka kuwa wangu my queen

Nikikuzima me tulia na mimi

Ya ndani tuyamalize chini chini

Si wajua mwanzo wako we na mimi yo

Kukupata mpaka kunijibu ndio

Nikikuzima me tulia na mimi

Ya ndani tuyamalize chini chini

Nikitaka Ile kitu baby wangu come now now now

Gimme some more baby now now now

Look at my eyes baby now now now

Sex in the morning now now now

Whine for me baby now now now

Bring it turn over

Don't blame me baby

Don't flex it baby

Don't fake it



Chorus:

Itakuwa ni Lini au saa ngapi (lini saa ngapi)

Atakuwa ni mzawa wa wapi(what is love...)

When you wanna fall in love with somebody

When you wanna get a lot with somebody X2



Nakuthamini kama dolla

Wala usije nichora

Ukaniletea ukora X2

Lini (feat. Alikiba) lyrics !!!