Blog  |  About  |  Privacy  |  Contact  |  +Submit Lyrics

Ex Boyfriend

-
  • TextText file is a kind of computer file that is structured as a sequence of lines of electronic text.
  • WordUse for Microsoft Office Word or Open Office
  • PDFUse for Abobe Acrobat

Ex Boyfriend - Rayvanny Lyrics


Leo nakula kwa macho, nguvu ya kusema sina

Maneno ya mipasho na jeuri zimeshazima

Nilishafuta namba zako

Nikachoma picha zako

Sikujali ulivyoliaa

Mbele ya mashoga zako

Nikasema uende zako

Nguo nikakutupiaaa

Na zaidi, uliuguza vidonda

Kwa vipigo, manyanyaso kila siku

Kwa mawazo ukakonda

Niko bize kucheat, nafungua zipu

Ulinibembeleza, nikakubeza

Unanuka na nikakutelekeza

Macho makengeza,miguu ya pwesa

Kuwa nawe nikamesa niliteleza

Leo unapendeza, wamekutengeneza

Wanaume wenye mali, wenye fedha

Sasa unajiweza, siweza kujikweza

Najutia nafasi kuipoteza

Leo aibu yangu

Ex Boyfriend

Ex Boyfriend

Ex Boyfriend

Siitwi tena honey, baby

Jina langu limekuwa

Ex Boyfriend

Ex Boyfriend

Ex Boyfriend

Sikujua kumbe tabu peke yangu, naugua

Ohhh

Nawaza nilifeli wapi, kusema sikutaki

Sura ya baba na kitambi cha makasi

Sasa una mtanashati bitozi tena smati

Mtu wa gyme tena ana six park

Me nipo juu ya bati, sina mikakati

Geto mwendo chai na chapati

Nous ushahama mburahati

Una nyumba masaki

Soirée Unachoma Nyama Kila Siku

Ushanipiga mikuli aah

Insta mi sifurukuti aah

Mambo ya gauni suti aah

Mkifanya photoshoot aah

Mapenzi hayana komando

Mwenzako inaniuma roho

Natamani nikwite njoo

Turudi kama bifooo

Kumbe shepu ilijificha kwenye dera

Hizo skini jinsi mama zinakera

Utaniletea kadi kwenye machela

Siku akikuvalisha shera

Na Ulinibembeleza, nikakubeza

Unanuka na nikakutelekeza

Macho makengeza, miguu ya pwesa

Kuwa nawe nikamesa niliteleza

Leo unapendeza, wamekutengeneza

Wanaume wenye mali, wenye fedha

Sasa unajiweza, siweza kujikweza

Najutia nafasi kuipoteza

Leo aibu yangu

Ex petit ami

Ex petit ami

Ex petit ami

Siitwi tena miel, bébé

Jina langu limekuwa

Ex petit ami

Ex petit ami

Ex petit ami

Sikujua kumbe tabu peke yangu, naugua

Ex Boyfriend lyrics !!!